MIIIIIIIIIIIIII

Monday, April 7, 2014

mfaume hamisi

SHOWROOM YA MAGARI YAUNGUA JIJINI DAR


Duka la Magari (showroom) iliyokuwa karibu na eneo la Mlimani City barabara ya Samnujoma jijini Dar es Salaam imeteketea kwa moto na kusababisha hasara ambayo bado haijafahamika, ambapo mpaka sasa chanzo cha moto huo hakijafahamika.Magari yakiwa yameteketea kwa moto.

Hapa moto ulikuwa ndiyo umeanza kuwaka kabla ya kuanza kuunguza magari.
Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.

No comments:

Post a Comment