DIAMOND ATOWA ZAWADI YA GARI KWA MSANII MKONGWE HAPA TANZANIA.
Msanii mkongwe wa muziki wa dansi, Muhidin Gurumo akijaribu gari dogo alilokabidhiwa na mwanamuziki wa bongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond ‘ kutokana na kutambua mchango wake baada ya kustaafu kazi ya muziki.
Gari alilozawadiwa mzee Gurumo.





No comments:
Post a Comment