MIIIIIIIIIIIIII

Friday, August 30, 2013

DIAMOND ATOWA ZAWADI YA GARI KWA MSANII MKONGWE HAPA TANZANIA.

Msanii mkongwe wa muziki wa dansi, Muhidin Gurumo akijaribu gari dogo alilokabidhiwa na mwanamuziki wa bongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond ‘ kutokana na kutambua mchango wake baada ya kustaafu kazi ya muziki.

Muhidin Gurumo akipokea funguo ya gari kutoka kwa Diamond
Gari alilozawadiwa mzee Gurumo.

No comments:

Post a Comment